Basi la laeketea wka moto Ubungo

Wednesday, March 03, 2010 / Posted by ishak /

BASI moja la abiria la kampuni ya Abood jana liliteketea kwa moto lote katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani Ubungo.

Basi hilo likiwa kituoni hapo lilianza kuweaka moto ghafla na kupelekea mali zote vikiwemo na viti kuteketea kwa moto huo.

Ilidaiwa kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme iliyotoka katika gari hilo.

Hata hivyo kikosi cha zima moto kilichelkewa kufika eneo la tukio na kukut gari hilo liko katika hatua za mwisho kuteketea

Basi hilo leo lilikuwa linatarajiwa lifanye safari zake kuelekee mkoani Tunduma.

source nifahamishe

0 comments:

Post a Comment