Kichanga chateketea kwa moto

Tuesday, May 18, 2010 / Posted by ishak /

KICHANGA cha siku 25 kimeteketea na moto ulioshika kwenye chumba alichokuwa amelazwa baada ya mama yake kusahau kibatari na kwenda kuteka maji bombani.
.
Alisema chumba hicho kilikuwa cha mpangaji, Mwantoro Haji (30] ambaye aliwasha kibatari na kutoka kuteka maji nje ya nyumba hiyo na nyuma ndipo moto ulizuka ndani ya chumba hicho na kuteketeza kila kitu kilichomo na kusababisha kifo cha kichanga hicho.


source nifahamishe

0 comments:

Post a Comment