Mama Afanya Mapenzi na Mwanae ili Kumpa Uzoefu wa Mapenzi

Friday, May 28, 2010 / Posted by ishak /


Baba na mama wa mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 9 wa nchini Australia wametupwa rumande kwa kufanya mapenzi na mtoto wao huyo wakidai wanampa elimu na uzoefu wa mapenzi.
Mwanaume mwenye umri wa miaka 57 na mkewe mwenye umri wa miaka 48 wa nchini Australia wametupwa rumande kwa kufanya mapenzi na mtoto wao wa kiume mwenye umri wa miaka 9.

Wazazi wa mtoto huyo ambao ni wafuasi wa kundi la watembea uchi "Nudist" walikuwa wakimpigisha punyeto na kufanya mapenzi na mtoto wao huyo ili kumpa uzoefu wa kimapenzi.

Mamlaka husika zilipewa taarifa juu ya suala hilo baada ya mtoto huyo kumtongoza msichana katika shule yake akimtaka wafanye mapenzi.

Polisi waliwatia mbaroni wazazi wa mtoto huyo novemba 16, 2009 na hawajapewa nafasi ya kumuona mtoto wao tena.

Akiongea mahakamani mjini Sydney jana, baba wa mtoto huyo alikiri makosa mawili ya kumuingilia mtoto wake na makosa mengine ya kumpigisha punyeto, kumshambulia na kuziweka picha na video za vitendo vyake kwenye internet.

Mama yake naye alikiri makosa ya kufanya mapenzi na mwanae na pia kumchua nyeti zake.

Taarifa ya polisi ilisema kuwa mtoto huyo aliwaambia kuwa wazazi wake hutembea uchi wanapokuwa ndani ya nyumba kunapokuwa na hali ya joto.

Baba yake hakuonyesha kujutia vitendo alivyokuwa akimfanyia mwanae na badala yake alidai kuwa anashangaa kwanini amekamatwa wakati alikuwa akimpa elimu ya mapenzi mwanae.

Wazazi wote wawili wa mtoto huyo wamenyimwa dhamana na wametakiwa kutowasiliana na mtoto wao kwa njia yoyote ile mpaka atakapofikisha umri wa utu uzima.

Watapandishwa tena mahakamani juni 4 kujua hatima zao.

source nifahamishe

0 comments:

Post a Comment