film za maigizo zinalipa kweli kweli...............

Saturday, November 13, 2010 / Posted by ishak /




Katika Kuonyesha kuwa ni wazi kwamba Tasnia ya filamu Tanzania inakua na kwamba ni muhimu kuwekeza katika tasnia hii, Leo tumemkuta Steven Kanumba akiwa na Gari lake ambalo ni mahususi kwa ajili ya Production na masuala yote ya utayarishaji wa filamu zake.

Kanumba katikati ya mwaka huu alifungua rasmi kampuni yake na kuweka ofisi katika mitaa ya sinza, Hii kweli inavutia na inakupa fikra kwamba kama huyu anafanya hivi ni kwa sababu gani? Je ni kwamba wadau wanamkubali na kumuwezesha!!!? BIG UP Kanumba, tunamatumani tutaona wengine mkirasimisha utendaji wenu wa kazi.

0 comments:

Post a Comment