Adakwa Live Akiwabaka Farasi

Friday, December 25, 2009 / Posted by ishak /


Mwanaume mmoja wa nchini Marekani ambaye alikodisha nyumba karibu na uwanja wa mashindano ya farasi ili aweze kupata nafasi ya kufanya mapenzi na farasi, amedakwa live akiwa juu ya farasi.
Kijana Erick Rivera mwenye umri wa miaka 18 anakabiliwa na mashtaka matano ya kuwafanyia ukatili wanyama baada ya kunaswa akifanya mapenzi na farasi.

Taarifa zilizotolewa na polisi zilisema kwamba Rivera alikodisha chumba karibu na uwanja wa mashindano ya farasi wa Hudson Valley uliopo Goshen, Indiana ili aweze kumalizia haja zake za kimapenzi kwa farasi waliokuwa wakihifadhiwa kwenye mazizi ya farasi yaliyopo kwenye uwanja huo.

Kuanzia mwezi julai mwaka huu uchunguzi wa polisi ulianza katika mazizi ya farasi hao baada ya watu wanaowatunza farasi hao kukuta stuli kwenye mazizi hayo.

Baada ya uchunguzi wa polisi wa miezi sita iligundulika kuwa Riviera alikuwa akiwanyatia farasi hao nyakati za usiku na kufanya nao mapenzi.

Polisi walifanikiwa kupata video za kamera za ulinzi zikimwonyesha Rivera akifanya kitendo hicho.

Rivera amefunguliwa makosa matano ya ukatili kwa wanyama na kufanya wizi.

Rivera ametupwa mahabusu akisubiri hukumu yake huku dhamana yake ikiwa ni dola 15,000.

source.nifahamishe

0 comments:

Post a Comment