Mwizi Anapojitafutia Balaa Mwenyewe

Wednesday, February 24, 2010 / Posted by ishak /


Mwizi huyu wa nchini Brazili alijiingiza mwenyewe matatani baada ya kufeli kwa misheni yake ya kuiba kwenye mgahawa mmoja nchini humo. Alilazimika kupiga kelele za kuomba msaada mwenyewe.
Mwizi huyu ilibidi aombe msaada mwenyewe wa kunusuru maisha yake baada ya kunasa katikati ya kuta za jiko la mgahahawa mmoja nchini humo.


source nifahamishe

0 comments:

Post a Comment